LYRIC
Katika masononeko nikamlilia Bwana
Kwani ngome tumaini ni mwamba wa wokovu [Bridge] Nitamuinua
Nitamsifu
Ndiye mwokozi
Ni Alpha na Omega [Chorus] Jina lako ni Jehovah, Jehovah, Jehovah
Wewe ndiwe Bwana Bwana Bwana
Tunakupa mamlaka mamlaka
Mamlaka Milele [Bridge] Nitamuinua
Nitamsifu
Ndiye mwokozi
Ni Alpha na Omega [Chorus] Jina lako ni Jehovah, Jehovah, Jehovah
Wewe ndiwe Bwana Bwana Bwana
Tunakupa mamlaka mamlaka
Mamlaka Milele [Outro] Ndiye Mwanzo na Mwisho
Mungu wa Israeli
Ndiye Mwanzo na Mwisho
Jina lake Jehovah
Transpose to Key of F [Outro] Ndiye Mwanzo na Mwisho
Mungu wa Israeli
Ndiye Mwanzo na Mwisho
Jina lake Jehovah [Chorus] Jina lako ni Jehovah, Jehovah, Jehovah
Wewe ndiwe Bwana Bwana Bwana
Tunakupa mamlaka mamlaka
Mamlaka Milele [Outro] Ndiye Mwanzo na Mwisho
Mungu wa Israeli
Ndiye Mwanzo na Mwisho
Jina lake Jehovah
No comments yet